
Nyingine ni kuhusu mwakilishi wa Tanzania kwenye shindano la Big Brother Afrika mwaka huu, Ammy Nando anayemshutumu aliyekuwa mpenzi wake, Selly wa Ghana kuwa alimwambukiza STD.

Sikiliza Episode ya 2 ya ‘Say What’ (sehemu ya Bongo5 Radio) usikilize wasomaji wa Bongo5 wametoa maoni gani kuhusiana na story hizo.
0 comments:
Post a Comment