This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 2 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 3 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 4 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 4 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 4 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 4 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 4 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 4 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 5 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

Showing posts with label STORY. Show all posts
Showing posts with label STORY. Show all posts

Monday, January 30, 2017

Hawa ndio mabigwa na wamepiga pasi nyingi hadi sasa kwenye ligi 5 kubwa Ulaya angalia rekodi zao na assist na timu wanazochezea









Cesc Fabregas,Kelvin De Bruyne na Andre Iniesta ni wachezaji wanaosifika kupiga sana pasi.Lakini msimu huu hawapo hadi sasa katika orodha ya waliopiga pasi nyingi.Lakini Paul Pogba,Herrera na Henderson ni wachezaji waliopo kwenye listi hii.Hembu tuone wachezaji 10 waliopiga pasi nyingi katila ligi 5 kubwa barani Ulaya.
10.Benjamin Andre.
Timu Rennes
Pasi alozopiga 1181
Pasi za kwenda mbele 671
Nafasi alizotengeneza 22
Assist 2
9.Ander Herrera
Timu Man United.
Pasi alizopiga 1185
Pasi za kwenda mbele 691
Nafasi alizotengeneza 25
Assist 3
8.Marco Verrati.
Timu Psg.
Pasi alizopiga 1192
Pasi za kwenda mbele 719
Nafasi alizotengeneza 22
Assist 2
7.Malang Sarr
Timu Nice.
Pasi alizopiga 1237
Pasi kwenda mbele 953
Nafasi alizotengeneza 3
Assist 1
6.Thiago Alcantara
Timu Bayern Munich
Pasi alizopiga 1258
Pasi kwenda mbele 727
Nafasi alizotengeneza 25
Assist 3.
5.Wylan Cyprien
Timu Nice.
Pasi alizopiga 1260
Pasi za kwenda mbele 729
Nafasi alizotengeneza 23
Assists 3
4.Paul Pogba
Timu Manchester United.
Pasi alizopiga 1271
Pasi za kwenda mbele 760
Nafasi alizotengeneza 41
Assists 3
3.Marek Hamski
Timu Napoli.
Pasi alizopiga 1477
Pasi za kwenda mbele 713
Nafasi alizotengeneza 45
Assist 7
2.Jordan Herndeson
Timu Liverpool.
Pasi alizopiga 1533
Pasi za kwenda mbele 926
Nafasi alizotengeneza 28
Assists 4
1.Thiago Motta
Timu PSG
Pasi alizopiga 1623
Pasi za kwenda mbele 1148
Nafasi alizotengeneza 10
Assists 0

Thursday, April 14, 2016

FC Barcelona imevuliwa Ubingwa wa UEFA na Atletico Madrid kwa kipigo hiki (+Video)





Usiku wa April 13 2016 ndio zilichezwa mechi mbili za mwisho za hatua ya robo fainali ya michuano ya klabu Bingwa barani Ulaya, klabu ya FC Barcelona ilikuwa mgeni dhidi ya Atletico Madrid katika uwanja wa Vicente Calderon wakati FC Bayern Munich walikuwa Ureno kucheza na Benfica.


FC Barcelona ambao ndio walikuwa mabingwa watetezi wa Kombe la Ligi ya Mabingwa Ulaya, wamevuliwa ubingwa kwa kufungwa jumla ya 2-0, hivyo kuondolewa mashindano kwa jumla ya goli 3-2, hiyo inatokana na matokeo ya mechi yao ya Nou Camp kuifunga Atletico goli 2-1.





Magoli ya Atletico alifunga Antoine Griezmann dakika ya 36 na dakika ya 88 akapachika goli la pili kwa mkwaju wa penati na kufanya nyota wa FC Barcelona kama Lionel Messi na wengine kutoamini kilichotokea. FC Bayern wao wamepita kwa aggregate ya 3-2, baada ya mchezo wa leo kumalizika kwa sare ya goli 2-2.


Video ya magoli ya Atletico Vs Barcelona, Full Time 2-0

Friday, August 14, 2015

Hawa ni Wachezaji 10 ghali zaidi katika Historia ya Ligi Kuu Uingereza


Ligi Kuu Uingereza inatajwa kuwa miongoni mwa Ligi maarufu zaidi Duniani hii inatokana kuwa na mashabiki kutoka sehemu mbalimbali Dunian, hata katika historia ya uuzaji wachezaji Ligi Kuu Uingereza bado inaongoza kwa wachezaji kutoka Ligi hiyo kuingia katika Ligi za nchi nyingine huwa wanauzwa kwa gharama.



August 14 nimeona nikusogezee List ya wachezaji ghali zaidi katika histori ya Ligi Kuu Uingereza. Ila list hii inaonyesha thamani ya bei aliyonunuliwa kipindi hicho na kulinganishwa na thamani ya pound ya sasa ingekuwa kiasi gani. Pound milioni 15 ya mwaka 1996 inathamani zaidi kuliko ya sasa.

Ada hizi za uhamisho zinatokana na baada ya kutathmini thamani ya pound kwa mwaka husika na sasa ingekuwa sawa na kiasi gani cha fedha. Hapo chini nimekusogezea wachezaji 10 ghali zaidi katika historia ya soka.













Tuesday, August 11, 2015

Japan yafufua kiwanda chake cha nyuklia


Raia wapinga kuanzishwa upya kwa kiwanda hicho
Japan imefufua mojawapo ya viwanda vyake vya kutengeneza umeme wa kutumia nyukilia, miaka minne tangu kuvuja kwa sumu kutoka kwa kiwanda chake kimoja cha kule fukushima .
Kiwanda hicho kilichoko Sendai kilipewa idhini kuendesha shughuli zake Kusini mwa Japan baada ya kupigwa msasa kikamilifu na kuwekewa masharti magumu.
Hata ingawa makundi mbalimbali nchini yanapinga kuanzishwa upya shughuli za kuzalisha umeme kutoka kwa nyukilia, watengenezaji wa umeme kote nchini wametuma maombi kufufuliwa upya vinu 25 vya umeme wa nyukilia.
Mtengenezaji wa umeme katika Sendai ametumia jumla ya dola milioni 20 kukarabati kinu chake.

UN yapeleka maafisa wake nchini Burundi

MRais wa Burundi,Pierre Nkurunzinza
Baraza la usalama la umoja wa mataifa limeunga mkono mpango wa kutuma maafisa wake wa ngazi ya juu nchini Burundi kwa ajili ya kutatua hali ya sintofahamu iliyopo nchini humo.
Baraza la hivi sasa lililopo chini ya Mnigeria Joy Ogwu limesema kuwa kumekuwepo na wasiwasi mkubwa juu ya hali ya usalama nchini Burundi huku likitoa wito kwa serikali kufanya mazungumzo ya amani na upande wa upinzani.
Kiongozi mwandamizi wa umoja wa mataifa kuhusiana na haki za binaadam Ivan Simonovic, ambaye alipelekwa na baraza hilo alisema hali ilikua ya kuzorota nchini Burundi lakini bado hawajakata tamaa.
Tangu,Rais Pierre Nkurunzinza , mapema mwaka huu kutangaza azma yake ya kugombea awamu ya tatu ya kuitawala nchi hiyo hali ya usalama bado haijatengamaa.
 source  bbc swahili

Furguson:kijana ajeruhiwa na kukamatwa


Hamkani si shwari Ferguson
Hali ya tahadhari imetangazwa katika mji wa Marekani Ferguson. Mvutano ulienea baada ya kijana mweusi wa miaka kumi na nane kujeruhiwa kwa risasi na polisi mwishoni mwa maandamano dhidi ya ubaguzi wa rangi.
Waendesha mashitaka wametamka kuwepo kwa hatia kwa kijana Tyrone Harris ambaye yu mahututi hospitalini.Kijana huyo alikua akishiriki katika maandamano ya kuadhimisha mwaka mmoja tokea kifo cha rafiki yake Michael Brown, kijana mweusi aliyeuawa na polisi mzungu mwaka wa jana ambaye baadaye ilisemekana hakuwa na hatia.
Polisi walisema Tyrone Harris alikuwa miongoni mwa watu sita ambao waliwafyatulia risasi maafisa. Baba yake anasema mwanaye hakua na silaha na alijaribu kukimbia kujihami

Wednesday, January 7, 2015

Baada ya drama nyingi, DMX amekuja na hili jipya.

 dmx-redemption-
Kiongozi wa kundi la Ruff Ryders DMX Ametangaza rasmi ujio wa album yake ya nane. DMX Anatoa album iliyopewa jina Redemption of the Beast mnamo January 13, 2015.
Info nilizopata mpaka sasa ni kwamba cd itakuwa na nyimbo 16 na wasanii walioshirikishwa ni pamoja na Freeway na msanii mpya Jannyce.
Mitaa inazungumzia album mpya ya DMX Kwa kuifananisha na album yake ya kwanza iliyotoka mwaka 1998 “It’s Dark and Hell Is Hot” ambayo ilishika namba moja kwenye chati za album ndani ya wiki moja tu. Hii ndio orodha ya nyimbo kwenye cd hii mpya.

  1. Spit That Shit
  2. Built Like A Bitch
  3. On and On
  4. Get Up and Try Again
  5. Solid Ft. Rampage
  6. I’m Gonna Win
  7. It’s A Problem
  8. It’s Goin’ Down
  9. Shout It
  10. One More Night
  11. 56 Bars
  12. Where You Been Ft. Freeway
  13. Right or Wrong Ft. Jannyce
  14. Gonna Get Mine
  15. We Gonna Make It
  16. Love That Bitch Ft. Jannyce

Ata baada ya kupewa ushauri,Wasanii wa Rnb bado wanapiga picha vifua wazi,huyu mwingine.



Msanii wa Rnb uliyemsikia kwenye hit zake kama 2 On na Pretend “Tinashe” ameng’arisha jarida la V kwa picha zake akiwa kifua wazi kwenye toleo la mwaka 2015.

Tinashe amezungumzia kufananishwa na Jhene Aiko na kusema ‘ kama kila msanii anatengeneza kazi bora basi wote tuna nafasi yetu kwenye muziki ila tusichanganye mashabiki ‘.

Wednesday, December 31, 2014

Kanye West anawafunika ma-star wengine wa kiume kwa mavazi?

Kumekuwa na mashindano ya ubunifu wa mitindo mbalimbali ya mavazi, wakati mwingine tumeona mastaa ambao hubuni mavazi yao wenyewe, hivi ukiambiwa umchague staa wa kiume ambaye ameongoza kwa kuvaa vizuri zaidi utamchagua nani?
Nilishawahi kusikia watu wakisema eti jamaa hajui kupangilia mavazi, ana mtindo wa kuvaa ambao hauvutii na ukimuangalia unaona kwamba ni kama hajali kuhusu mavazi yake.
Jarida la GQ wamefanya tafiti zao na watu wamepiga kura, majibu yemeonyesha kuwa rappa Kanye West, ndiye bingwa wa kutupia swaga kwa mwaka 2014.
Jamaa waliofanya tafiti wamesema mavazi ya Kanye West yametafsiri na kubadili mazingira ya fashion kwa wanaume wengi, mavazi yake ni kama yamekuwa yakielezea kesho zaidi kwenye Dunia ya mitindo.

Thursday, December 18, 2014

Video ya Alikiba, itaanza kuoneshwa Ijumaa hii kwenye vituo mbalimbali vya runinga vilivyopewa ruhusa ya kuionesha ‘exclusively’.





Alikiba amesema video hiyo imeingozwa na director wa Afrika Kusini na ilifanyika jijini Cape Town.

“Mwana Dar es salaam simaanishi ni Dar es Salaam, aim yangu ninalenga yale majiji ambayo yanatokana na vitu kama hivyo,” alikiambia kipindi cha Amplifaya cha Clouds FM. “Unajua ina changamoto nyingi, kama Dar es Salaam ni mji maarufu kama Nairobi kwa vitu kama nilivyovizungumzia vina happen kwenye miji maarufu kwa sababu kunakuwa kumechangamka, kuna kila aina ya matukio. Kwahiyo maana yangu ni kuzungumzia Dar es Salaam mfano wa miji mingine vile vile nyimbo inaitwa Mwana it’s mtoto tuyezungumzia haijalishi wa kike au wa kiume. Director aliye-shoot sio mtanzania. Nimefanya naye kwa mara ya kwanza nahisi nitaendelea kufanya naye kazi.”

Wednesday, December 17, 2014

Youtube wanaamini hii ndio orodha ya video zilizotazamwa zaidi toka Youtube imezinduliwa.

Youtube-Top-10
Hizi ni video thelathini ambazo Youtube wanaamini zimetazamwa zaidi kwenye mtandao wao, zile ambazo zimeonekana kuwa zilinunua watazamani ili zionekane zimetazamwa zaidi hazipo
Youtube 1

  • Entertainmen

Youtube 2

Friday, November 28, 2014

Saa za waliochota Sh bil 321 IPTL zahesabika


Abdulrahman Kinana
Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana
CHAMA Cha Mapinduzi (CCM), kimesema kila aliyehusika katika kashfa ya uchotwaji wa Sh bilioni 321 katika akaunti ya Tegeta Escrow iliyokuwa imefunguliwa Benki Kuu ya Tanzania (BoT), abebe msalaba wake bila kujali cheo chake na kwamba muda wa kulindana umekwisha.
Hayo yalisemwa jana na Katibu Mkuu wa chama hicho, Abdulrahman Kinana na Katibu wa Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye walipokuwa wakihutubia mkutano wa hadhara uliofanyika katika uwanja wa Ilulu mkoani Lindi.
Waziri wa nchi Ofisi ya Rais asiyekuwa na wizara maalumu, Profesa Mark Mwandosya, alisema ni vema watu wanaotajwa katika kashfa hiyo wakae pembeni ili kutoitia doa serikali na chama tawala.
Profesa Mwandosya alitoa kauli hiyo alipokuwa akizungumza na wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM), ambao pia ni wanachama wa CCM.
“Kwa sasa hivi vikao vya chama na serikali vinaendelea, ni lazima ripoti iwasilishwe bungeni, mambo yawe hadharani ili mbivu na mbichi zijulikane.
“Kwa maoni yangu, naamini kabisa kuwa ni vema wale wote wanaotajwa kwenye hili suala la IPTL, wakakaa kando ili kuepuka kukipaka chama na serikali matope,” alisema Profesa Mwandosya.
Mwenyekiti wa Chama cha Wananchi (CUF), Profesa Ibrahim Lipumba amemtaka Waziri Mkuu Mizengo Pinda, Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo, na Katibu Mkuu wake, Eliachim Maswi pamoja na Mwanasheria Mkuu wa Serikali, Jaji Frederick Werema wajiuzulu kutokana na kutajwa katika kashfa hiyo.
Katika mkutano huo, Nape  alisema  watakaobanika kuhusika katika kashfa hiyo, wanapaswa kuwajibishwa bila kujali nafasi  zao.
“Katika hili naomba niseme kila  ambaye atabainika kuhusika  achukuliwe hatua, kila mtu  abebe msalaba wake mwenyewe. Hatutakubali  kuona watu waliohusika katika sakata hilo wanaachwa, lazima  wachukuliwe hatua.
“CCM tunaheshimu miiko ya  uongozi na maadili, hivyo hili  la Escrow lazima waliohusika  wachukuliwe hatua,”alisisitiza  Nape.
Kwa upande wake Kinana alisema muda wa viongozi  ndani ya chama hicho kulindana  umekwisha na uvumilivu sasa  basi.
Kinana ambaye hakuzungumzia  kabisa sakata la Escrow, alitumia nafasi hiyo kuwaambia  wananchi. “Si sawa mwizi  kumlinda mwizi, haiwezekani mtu  anaharibu halafu anaachwa.
“Muda wa kulindana haupo tena  ndani ya CCM. Uvumilivu umefika  mwisho. Muda wa kubebana na  kuvumuliana sasa  umekwisha,”alisisitiza Kinana.
Alisema  CCM  haiko tayari  kuendelea kulindana na kubebana  wakati mambo yanaharibika  huku  akisisitiza kazi ya chama hicho  ni kuisimamia Serikali.
CUF
Nacho Chama cha Wananchi (CUF), kimemtaka Waziri Mkuu Mizengo Pinda, Waziri wa Nishati na madini, Profesa Sospeter Muhongo na wengine wanaotajwa katika kashfa hiyo kujiuzulu wenyewe vinginevyo rais atengue uteuzi wao.
Akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, Mwenyekiti wa Chama hicho, Profesa Ibrahim Lipumba alisema  viongozi wengine wanaopaswa kuwajibika ni Mwanasheria Mkuu wa Serikali(AG),Jaji Frederick Werema na Katibu Mkuu wa Wizara ya Nishati na Madini, Eliachim Maswi.
Alisema licha ya hatua hiyo, pia akaunti zote za benki zinazotajwa kupitisha fedha za Escrow ni vyema zikafungwa na fedha zirudishwe serikalini.
Profesa Lipumba pia alitaka mmiliki wa Kampuni ya VIP Engineering, James Lugemalila iliyokuwa na asilimia 30 za hisa IPT na mmiliki wa Kampuni ya Pan Africa Power Solutions Ltd (PAP), Harbinder Singh Sethi, aliyenunua kampuni hiyo ya kufua umeme, wafikishwe mahakamani.
Alisema chama hicho kimefikia uamuzi huo baada ya kuona ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali(CAG).
“Tanesco walipaswa kurejeshewa sh bilioni 321 zilizolipwa kwa ITPL kati ya mwaka 2002 na 2012, kwa hiyo fedha zote za akaunti ya escrow jumla ya Sh bilioni 306 ni mali ya tanesco na bado wanaidai IPTL bilioni 15.
“Kutokana na hali hiyo, watuhumiwa hao wanapaswa kufikishwa mahakamani kutokana na kufanya ufisadi mkubwa wa namna hiyo wakati wananchi wanaishi katika mazingira magumu,”alisema Profesa Lipumba.
Alisema katika ripoti hiyo pia imeonyesha kuwa kampuni ya PAP haikununua kihalali asilimia 70 ya hisa za kampuni ya Merchmar ya nchini Malaysia  katika IPTL kwa sababu zilikua zimezuiwa na mahakama.
“PAP hawana hati halisi za hisa hizo, pia ilifanya udanganyifu katika malipo ya kodi kwa kutoa nyaraka za uongo kuwa walinunua hisa kwa sh milioni 6 badala ya dola milioni 20, hali iliyoikosesha serikali mapato ya Sh bilioni 8.7.
“Kosa hilo pia linawahusu Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kanda ya Ilala ambao walihusika katika kupokea kodi ya mauzo hayo,”alisema.
Prof. Muhongo
Katika hatua nyingine, Waziri wa Nishati na Madini, Profesa Sospeter Muhongo amesema hajiuzulu ng’o.
Akizungumza na MTANZANIA  jijini Dar es Salaam juzi, Profesa Muhongo alisema uamuzi wa kujiuzulu unaweza kusababisha rasilimali za wananchi kuibwa zaidi.
“Siwezi kujiuzulu kwa ajili ya kauli za watu…nafanya kazi kwa maslahi ya wananchi, kama kuna watu wanadhani nitajiuzulu ili nitengeneze mianya ya kula rushwa, wamejidanganya… sijiuzulu ng’o,”alisema.
Alisema hafanyi kazi kwa ajili ya kusikiliza maneno ya watu, bali kutetea rasilimali za wananchi, hivyo hawezi kuhusishwa na mambo yasiyomuhusu.
“Hata ripoti ya Mdhibiti na Mkaguzi Mkuu wa Hesabu za Serikali (CAG) inaonyesha wazi sijala hata shilingi kumi, na siwezi kufanya hivyo kwa sababu nawatumikia wananchi kwa nia na moyo mmoja. Wanaotaka ning’oke wana mambo yao binafsi, narudia tena kusema sing’oki.
“Sijatenda kosa baya lolote, wezi, walarushwa na wababaishaji wananiogopa na kunihofia,” alisema.
Alisema mara nyingi vyombo vya habari vimekuwa vikimtuhumu bila ya kuwa na ushahidi.
“Sitaki kutetewa, bali wanapaswa kuandika habari zenye ukweli ambazo zimefanyiwa utafiti kabla ya kutoa hukumu,” alisema.
Pinda ausia serikali
Naye Waziri Mkuu Mizengo Pinda, amesema ili kuweza kuridhisha nyoyo za Watanzania katika kashfa ya IPTL, ni lazima Serikali ijipange ili kuweza kutoa majibu yatakayoridhisha  kuhusiana na suala la IPTL.
Amesema kwa kipindi cha sasa Taifa linapita katika wakati mbaya na mgumu wa lala salama kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka 2015.
Kauli hiyo aliitoa jana mjini Dodoma alipokuwa akitoa hotuba ya kumweka wakfu Askofu Mkuu wa Dayosisi ya Kati wa Kanisa la Anglikana Tanzania, Dk. Dickson Chilongani, ambapo alisema hivi sasa kumekuwa na kampeni za kuchafuana mbele ya jamii.
“Baba Askofu kipindi hiki ni kibaya tunasema lala salama, kubwa ni Serikali kutoa maelezo yatakayotuaminisha kwa wananchi. Ila uadilifu mkubwa unahitajika serikalini kwa sababu kuna mapesa.
“…Kipindi hiki ni cha lala salama kwa hiyo watu wengine wamekuwa wakichafua wengine kwa ajili ya kutaka kupata madaraka ya nchi,” alisema Pinda.

Thursday, November 20, 2014

CHRIS BROWN NA HELA ZAKE ..... TAZAMA ALICHOKIFANYA KWENYE GARI LAKE AINA YA LAMBORGHINI










Kuna wale mastaa wa dunia ambao haichukui siku mbili au tatu ni lazima tu utawaona kwenye headlines za TV, radio, blogs au facebook na twitter …….. Chris Brown ni miongoni mwao.

Kilichomleta kwenye headlines time hii ni maamuzi yake ya kulichora gari lake mashairi ya wimbo wa rapper 2Pac ambapo unaambiwa kalilipia hela kwa mchoraji na kumuagiza alichore mashairi ya wimbo wa rapper 2Pac uitwao ‘Lord Knows‘ yaani Mungu anajua.

Hii kazi ilichukua saa kumi na sita kumalizika.



Limependeza au kateleza? single yenyewe ya 2Pac aliyoichorea mashairi ndio hii hapa chini..
I smoke a blunt to take the pain out
And if I wasn’t high, I’d probably try to blow my brains out
I’m hopeless, they shoulda killed me as a baby
And now they got me trapped in the storm, I’m goin crazy
Forgive me; they wanna see me in my casket
and if I don’t blast I’ll be the victim of them bastards
I’m loosin hope, they got me stressin, can the Lord forgive me
Got the spirit of a thug in me
Another sip of that drink, this Hennesey got me queasy
Don’t wanna earl, young nigga take it easy
Picture your dreams on a triple beam, and it seems
don’t underestimate the power of a fiend
To my homies on the block
slangin rocks with your glocks put this tape in your box
When you’re runnin from the cops — and never look back
If they could be black, then they would switch
Open fire on them busta-a** bi****s, and Lord knows…
chris brown

Monday, August 4, 2014

Picha 25 kutoka kwenye instagram party







Instagram party ilifanyika Escape 1 na watu wengi walifika eneo la tukio. Hizi ni baadhi ya picha kutoka kwenye party hiyo







































Tuesday, July 22, 2014

Picha,Kwenye Utengenezwaji Wa Video Ya Ney Lee’Nipe Muda’ Nchini Zambia


Msanii anayechipukia kwenye muziki wa Bongo Fleva Ney Lee anaelekea kukamilisha video ya wimbo wake mpya ‘Nipe Muda’ inayofanyika nchini Zambia na kampuni ya Video ya F2K Production.