This is default featured slide 1 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 2 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 3 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 4 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 4 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 4 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 4 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 4 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 4 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

This is default featured slide 5 title

Go to Blogger edit html and find these sentences.Now replace these sentences with your own descriptions.

Showing posts with label VIDEO. Show all posts
Showing posts with label VIDEO. Show all posts

Saturday, June 24, 2017

QUICK ROCKA NA OMG WANAYO KICHUPA HIKI KWA AJILI YAKO "WATASEMA" CLIP IANGALIE HAPA


Baada ya crew ya OMG kufanya poa na video yao “Uongo na Umbea” hapa wamekutana tena na boss wao, Quick Rocka mmiliki wa studio za Switch Records ambazo OMG wamesaini kufanya kazi chini ya lebel hiyo. Leo wameachia video yao mpya “Watasema” ambayo kuna sehemu wamesample wimbo wa TID “Watasema Sana”
.

Monday, January 30, 2017

VIDEO: Mane ameiangusha Senegal AFCON 2017










Striker wa Liverpool Sadio Mane alikosa mkwaju muhimu wa penati uliopelekea timu yake ya taifa ya Senegal kusukumwa n je ya Kombe la mataifa ya Afrika na Cameroon kufuzu hatua ya nusu fainali ya michuano hiyo kwa penati 5-4.


Mane ambaye ni mchezaji ghali zaidi wa kiafrika, penati yake ilipanguliwa na golikipa wa Cameroon Fabrice Ondoa, kabla ya Vincent Aboubakar kupachika penati ya ushindi kwa Cameroon.


Senegal ilikuwa na nafasi ya kushinda game hiyo katika muda wa kawaida lakini umahiri wa golikipa wa Cameroon Fabrice Ondoa ulikuwa kikwazo kikubwa kwa Simba wa Teranga na kushuhudia pambano hilo likifika hadi dakika 120 bila timu hizo kufungana.


Matokeo hayo yanamaanisha sasa Mane anatarajia kurejea haraka kuungana na klabu yake ya Liverpool ambayo ilichezea kipigo cha magoli 2-1 kutoka kwa Wolverhampton Wanderers Jumamosi kwenye mchezo wa FA Cup raundi ya nne.


Mchezo kati ya Senegal na Cameroon ulikuwa unazikumbusha timu hizo mchezo wao wa miaka 15 iliyopita ambapo zilikutana kwenye fainali huko nchini Mali.


Kwenye fainali hiyo, Cameroon iliifunga Senegal kwa magoli 3-2 kwa mikwaju ya penati baada ya dakika 120 kumalizika bila mshindi.


Cameroon inataraji kucheza nusu fainali na mshindi wa mechi ya robo fainali kati ya Democratic Republic of Congo au Ghana siku ya Alhamisi kutafuta timu itakayofuzu kucheza fainali .

Wednesday, December 30, 2015

‘Ligi Ndogo’ hii hapa kwenye video iliyochanganywa TZ na South Africa >> Bil Nas Feat. TID (Video)


‘Ligi Ndogo’ nayo ni moja ya ngoma kali za kuheshimika kwa mwaka 2015, hiyo ni kazi ya kijana mwenye ukali wake kwenye rap music, Billnass Feat. TID.
Kwa sababu redioni imekamata na imekubalika, unaweza kuona na video yake ilivyo sasahivi… Billnass aliikabidhi kazi kwa director Mbongo, Hanscana na kazi ndio hii imekuja tayari.

DJ wa Jay Z katua Dar es Salaam.. kumbe ana washkaji TZ !! Mengine kwenye dakika 3.. +Video








Jamaa anaitwa DJ Young Guru, huyu ndio jamaa ambae anafanya kazi kama DJ wa rapper Jay Z akiwa kwenye show zake… Hii ni safari ya pili kwa Young Guru kukanyaga Tanzania.





Rapper Jay Z na DJ wake Young Guru.


Young Guru anasema anajisikia poa sana kwa sababu tayari alipata washkaji kadhaa alipotua mara ya kwanza na alifahamiana pia na baadhi ya watu, kwa hiyo sio mgeni kabisa safari hii.





Kingine ni kwamba kinachompa furaha zaidi ni kuwa ndani ya Tanzania akiburudisha watu wa nguvu katika usiku wa Grown & Sexy December 31 2015 wakati wa mkesha na party ya kuupokea mwaka mpya 2016 !!





AY na DJ Young Guru


Jamaa anakumbuka pia baadhi ya washkaji zake yuko pia rapper Mwana FA, enjoy na interview yote dakika zake tatu baada ya kutua Uwanja wa ndege Dar es Salaam.

Monday, August 24, 2015

FC Barcelona Vs Athletic Bilbao, matokeo yapo hapa (Picha&Video)


Klabu ya FC Barcelona imeshuka uwanjani kucheza mechi yake ya kwanza Ligi Kuu Hispania, FC Barcelona imeingia uwanjani kucheza na klabu ya Athletic Bilbao ikiwa ni wiki moja imepita toka ipokee kipigo kutoka kwa Athletic Bilbao katika mchezo wa Super Cup.
Generated by IJG JPEG Library
August 23 FC Barcelona imerudi kucheza mechi ya Ligi Kuu na Athletic Bilbao ila imefuta uteja wa kukosa ubingwa wa Super Cup ila katika mchezo wa Ligi Athletic Bilbao imekubali kipigo cha goli 1-0, goli pekee la dakika ya 54 kutoka kwa Luis Suarez liliwafanya FC Barcelona kuondoka na point 3 muhimu.
Generated by IJG JPEG Library
Generated by IJG JPEG Library
Generated by IJG JPEG Library
Generated by IJG JPEG Library
485015660
Generated by IJG JPEG Library
Generated by IJG JPEG Library
Video ya magoli

Tuesday, June 9, 2015

Kim Kardashian ‘alivyomsuprise’ Kanye West kwenye Birthday yake…(Pichaz&Video)








Jana jumatatu ilikua siku ya kuzaliwa ya Kanye West na alitimiza umri wa miaka 38.





Mke wake Kim Kardashian aliamua kumfanyia suprise kwa kumkodishia uwanja wa kikapu wa Staples Center uliopo Los Angeles kwa siku nzima ya jana ambao hutumika kwa ajili ya timu za mpira wa kikapu Marekani.


Kanye alitumia muda wake mwingi kucheza kikapu na marafiki zake wa karibu katika uwanja huo ambao kwa mujibu wa mtandao wa E News Kim aliulipia kiasi cha dola 110,000.





Baadhi ya watu wa karibu waliolikwa kwenye tafrija hiyo ni Justin Bieber, Tyga, Pusha Tna John Legend ambaye alikua MC wa shughuli hiyo.





Kim pia aliwalipa makocha wa Lakers kwa ajili ya kuchezesha mchezo huo pamoja na baadhi ya wasichana ambao waliongeza mvuto kwa kumshangilia mume wake muda wote.
















Thursday, May 14, 2015

Wasanii watatu waliojitoa Cash Money ndani ya miezi sita.

bow wow
Baada ya Omarion na rapa Busta Rhymes kujitoa Cash Money records, Jumamosi ya May 9 2015 rapa/mtangazaji/ mwigizaji Bow Wow ametumia kurasa yake ya facebook kufahamisha mashabiki kuwa amejitoa rasmi Cash Money baada ya miaka mitano na lebel hio na kutoa album moja tu ambayo ni ‘Underrated’.
Bow wow amerudi kufanya kazi na waliomtoa kwenye muziki ambao Jermain Dupri na Snoop Dogg.
Hii ni video ya Bow Wow akielezea sababu za kujitoa

Friday, January 9, 2015

new vedio - najiamini

Tuesday, December 30, 2014