Monday, April 22, 2013

MASHABIKI WALISEMA HAWAELEWI KINACHO ENDELEA, BAADA YA UCHUNGUZI NIMEKUTA HII KUHUSU JUSTIN BIEBER NA SELENA GOMEZ KURUDIANA



Hii ndiyo picha ambayo Justin Bieber ameiweka katika Instagram yake na kuiondoa baada ya muda mfupi - picha hii ni moja ya signs kwamba mahusiano yake na Selena Gomez huenda yakawa yamerudi.


Hivi karibuni pia paparazi wameinasa snap ambayo inamuonyesha Bieber akiwa ameshikilia simu yake ya mkononi ikiwa na screen saver ambayo inaaminika kuwa ni picha ya 'swit pie' Selena.



Kwa hizi dalili kwa sasa, Story na assumptions kwa mtaa ni kwamba Justin Bieber na Selena Gomez wamesharudiana lakini wameamua safari hii kuifanya relationship yao kuwa ni ya kisirisiri zaidi kutokana na kuzikwepa kero za mapaparazzi.







0 comments:

Post a Comment