Tuesday, March 5, 2013

LAMBORGHINI VENENO KUUZWA KWA WATU WATATU DUNIANI KWA ZAIDI YA DILION 6 KWA KILA MOJA

Katika kuadhimisha miaka 50 ya uzalishaji, watengenezaji wa magari ya kifahari duniani ya Lamborghini wa nchini Italia wametengeneza toleo jipya la magari hayo liitwalo Veneno, ambayo itauzwa dola milioni 4 (zaidi ya shilingi bilioni 6 za Tanzania) kwa watu watatu tu duniani ambao tayari walishalipia hata kabla haijatengenezwa.
Lamborghini-Murcielago- LP670-4 SuperVeloce-China-5
Gari hizo tatu zitakuwa na rangi nyekundu, nyeupe na kijani kufanana na rangi ya bendera ya Italia.

0 comments:

Post a Comment