Katika
kuadhimisha miaka 50 ya uzalishaji, watengenezaji wa magari ya
kifahari duniani ya Lamborghini wa nchini Italia wametengeneza toleo
jipya la magari hayo liitwalo Veneno, ambayo itauzwa dola milioni 4
(zaidi ya shilingi bilioni 6 za Tanzania) kwa watu watatu tu duniani
ambao tayari walishalipia hata kabla haijatengenezwa.

Gari hizo tatu zitakuwa na rangi nyekundu, nyeupe na kijani kufanana na rangi ya bendera ya Italia.
0 comments:
Post a Comment