Monday, January 30, 2017

Asubuhi hii Mafundi wa TRL waliokesha wakitengeneza reli palipoanguka Treni








Treni ya abiria ya EXPRESS ikitokea Kigoma kuelekea Dar es salaam January 29 2017 ilipata ajali maeneo ya Ruvu mkoani wa Pwani ambapo jioni yake timu ya Mafundi pamoja na viongozi wa shirika la Reli Tanzania iliwasili kwenye eneo la tukio.


Shirika la reli Tanzania TRL jana usiku lilifanya mahojiano katika eneo la tukio ambazo


Kwenye mahojiano hayo ilitamkwa kwamba reli hiyo iliyoharibika ni lazima itengenezwe ili kuruhusu Treni za Mizigo na abiria ziendelee na shughuli zake kama kawaida leo na ndio maana Mafundi hawa wamekesha wakitengeneza, unaweza kuwatazama kwenye hii video fupi hapa chini. source millardayo.com

0 comments:

Post a Comment