


Fatma aka Brown Berry akiwa na mpenzi wake
Kumekua na taarifa kwamba msichana huyu amehukumiwa kunyongwa. Hata hivyo baadhi ya watu wametuma message kadhaa kwa bloggers kwenye mitandao ya kijamii kusema kwamba ni kweli ndugu yao amekamatwa lakini taarifa za hukumu ya kunyongwa sio za kweli, na hata hajahukumiwa bado
Source: jestina-george
Source: jestina-george
0 comments:
Post a Comment