Monday, January 14, 2013

ANGALIA PICHA 3;MAAJABU....HILI ndo JOKA LA AJABU LILILOUWAWA MISRI



Hili ndilo joka linalosemekana kuuawa ndani ya "Red Sea". Joka hilo lilisha ua watalii 320 na wana maji 125 kabla ya kuuawa kwa ushirikiano wa Wanasayansi wakongwe wa Misri na Waogeleaji wazoefu wa huko Misri.




 
Hawa ni wanasayansi walioshiriki:-
  • D. Karim Mohammed
  • d. Mohammed Sharif
  • d. Mr. Sea
  • d. Mahmoud students
  • d. Mazen Al-Rashidi
Na hawa ni waogeleaji walioshiriki:-
  • Ahmed leader
  • Abdullah Karim
  • fisherman Knight
  • Wael Mohammed
  • Mohammed Haridi
  • spears Alvajuma
  • Mahmoud Shafik

0 comments:

Post a Comment