Friday, July 27, 2012

PHD A.K.A Hemed Suleiman: Mabinti wa kibongo hawanivutii, nilishapita nao kama 32 hivi!



Tumekutana nayo hii kwenye blog ya mbunifu wa mavazi anayekuja kwa kasi nchini Martin Kadinda. Anasifika sana kwa kuwavisha mastaa wa Bongo zile suti za ‘marangirangi’ za single button, Hemed PHD akiwa mmoja wa ‘clients wake’.


So Martin alikuwa akipiga tu story na mteja wake na akamuuliza kama huwa anatumia condom kuwachapa nao! ‘We jamaa maswali gani hayo bana? mimi kondomu za nini? muda wote mimi nakwenda dry,” alijibu Hemed.

Kingine alisema kuwa jina lake la PHD limetokana na status yake ya kutembea na mademu kibao tena maarufu.


“Unauliza kengele kanisani??? unadhani kwanini naitwa Hemed PHD? nina taaluma ya kucheza na mioyo ya mabinti hawa wakibongo.... ila tatizo hawanivutii huwa napita tu kwakuwa nina hamu na wakati huo au ninakuwa sipo katika mahusiano na mtu yoyote,” alisema Hemed.



“Mpaka sasa nishawapitia 32... kwahiyo kuhusu majina katafute mwenyewe huko mtaani mbona stori zipo,” aliongeza.


Kwa kauli hiyo nadhani tumepata kirefu cha PHD,nacho ni PLAYER, HEARTBREAKER AND DESTROYER.

0 comments:

Post a Comment